![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi_UI3Na6Sw-mfpRdOY5-9EO2QoHR4alCheUaSxPkexuqrwlk4ZZrWGN5Yk8oO6e6hN29XJuOb4PmNdZ1eRTL7VbvX3QlRzuNi-NWoqNfDFx4-G9g8T-Gd5FXTE1aCztszjeoT6yD9NM0I/s640/figo.jpg)
Tabia 10 zinazoharibu Figo
- Kubana mkojo muda mrefu
- Kutokunywa maji ya kutosha kila siku
- Kutumia chumvi nyingi kuzidi kiwango
- Kula nyama mara nyingi
- Kutokula chakula cha kutosha
- Kuchelewa kujitibu maambukizi madogo madogo haraka na kwa usahihi
- Kutumia visivyo dawa za kutuliza maumivu
- Kutumia dawa kwa ajili ya insulin kwa muda mrefu
- Kunywa pombe kupita kiasi
- Kutopata muda wa kutosha kupumzika
Kunywa glasi 2 za juisi ya parachichi kila siku kutaziweka figo zako katika hali ya usafi na afya.
Source:Muungwana
Designed by CHAX C
Comments
Post a Comment