![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgr9nld-VF0UWTM2ujB7k-PwHfY4Wloj8fKP1WrH3Qdxod-KPCOrtClT9RO-c67RREeHb9F6IVP1RD5aEvhMw6VFaa0v37Or-LcIU-BIighXVdgE_fCATMPkw4E7oDnRzH19j1FHbqmkHYM/s640/nguo.jpg)
Nchini indonesia katika kijiji cha Tana Toraja, maiti huwa zinafufuliwa na Kubadilishwa nguo, zoezi hili hufanyika kila mwaka baada ya maiti kuzikwa, na wanafamilia ndio huifanya kai iyo;
Duuh! mimi hapo sina cha kuongea,zaidi yangu macho tu.
Source:Raha za Walimwengu
Designed by CHAX C
Comments
Post a Comment