Wolper alisema hayo kupitia kipindi cha eNewz na kudai japo hawakatazwi kuvaa nguo nusu uchi lakini si jambo jema, na kusema mtu unapovaa nguo za namna hiyo na unakwenda kwenye harusi au interview lengo lako linakuwa nini zaidi.
Source:Muungwana
Designed by CHAX C
Comments
Post a Comment